KATIBU MKUU CCM TAIFA AMEWATAKA WAJUMBE WA UCHAGUZI WA MIKOA KUCHAGUA VIONGOZI WAADILIFU.

Na Moreen Rojas, Dodoma. Katibu Mkuu CCM Ndg.Daniel Chongolo amewataka wajumbe wa uchaguzi wa mikoa kuchagua viongozi waadilifu. Chongolo ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Covention jijini Dodoma. Amesema kuwa wameamua kusimamisha uchaguzi wa vijana mkoa wa Simiyu kutokana na rushwa,kusimamisha uchaguzi wa nafasi ya mjumbe Mbeya kwa